Jumanne, 8 Aprili 2014

MAVAZI YA USIKU

Habari  zenu Wapendwa tumshukuru Mungu kwa  kutupa pumzi siku hii ya leo, Mpenzi msomaji katika Blog hii usisite kutoa ushauri na comments katika Blog hii  karibu.


Mpenzi msomaji siku ya leo natazungumzia kuhusu mavazi ya usiku  yanatakiwa kuvaliwa sehemu gani? na wakati gani? Watu wengi wamekuwa hawafahamu nguo ya usiku ni nguo ya namna gani?kwa siku ya leo utaweza kufahamu  nguo mbali mbali.


Wanawake wengi pamoja na wasichana wamekuwa wakivaa nguo za kungaa mchana kwanye jua kali ambayo si muda maharumu wa kuvaa vazi hilo , Muda maarumu wa kuvaa vazi hilo ni usiku uwe unaenda  kwenye harusi, au sherehe yoyote hile.Hizi ni baadhi ya mavazi ya usiku.
Haya ndio baadhi  ya mavazi ya usiku na yanayo leta mvuto na unadhifu pale tu unapo vaa vazi hili la usiku . Pia wasichana wengi  pamoja na wanawake wanapenda kuvaa nguo  za rangi rangi kama rangi ya njano,orange  hizi rangi zinawaka sana ingawa wakina dada wengi huzivaa mchana inakuwa haipendezi kwa mtoko wa mchana inafaa kwa mtoko wa usiku unakuwa  mtu wa kuvutia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni