Jumatano, 9 Aprili 2014

MAVAZI YA OFISINI

Habari  zenu Wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kuiona tena siku hii ya leo, Mpenzi msomaji wa blog hii nakukalibisha kwa mara nyingine tena  usisite kutoa maoni yako  karibu sana.



Siku ya leo nitazungumzia kuhusu Mavazi ya ofisini  ni mavazi ya aina gani? siku ya leo utaweza kuyafahamu kwa undani zaidi , msomaji  mwavazi ya ofisini ni mavazi yanayo heshimika sana  mtu hawezi kuvaa jinzi au  suluali ya jinzi  kwa upande wa wasichana na wanawake hilo sio vazi la ofisini ingawa asilimia kubwa  wana vaa bora  amekwenda ofisini. Lakini ofisini ni sehemu muhimu sana kwa kuvaa vazi la heshima . haya ni baadhi ya mavazi ya ofisini  yanavyo leta muonekano tofauti.
Hili  ni moja wapo ya vazi la ofisini  linalo leta muonekano  tofauti kwa wavaji,pia rangi nyeupe na nyeusi ni moja wapo ya rangi zinazo leta mvuto na inapendeza kwa  kila mtu.




Rangi  ya  Blue na black ni rangi inayovutia sana kwenye mavazi ya suti   wadada wengi wanapenda sana kuvaa aina hii ya rangi.


Tumeweza kuyaona baadhi ya mavazi ya Ofisini yanavyo mfanya mtu awe tofauti hata mtu akivaa vazi la suti akawa anaenda sehemu nyingine tofauti na ofisini,anaonekana tu kama anafanya kazi. Kama tulivyo yaona mavazi ofisini  ni mavazi yanayo heshimiwa sana.





Muonekano tofauti



Mpenzi msomaji hayo yalikuwa ni mavazi ya ofisini, tuangalie upande mwingine wa Viatu pamoja mikoba inayo faa kuvaa kwenye mavazi ya ofisini na kumfanya mvaaji aonekane wa tofauti.


 Kwa upande wa  Viatu


 
inapendeza sana kwenye vazi la suti ukiwa umevaa vazi la black na white inavutia sana




Kwa wale wakinadada na wakina mama wanaoweza kutembelea viatu vya juu kama nilicho kuonesha hapo juu ni moja wapo ya kiatu kinacho pendeza sana , ila kina faa kwa wale wenye magari yao sio unapanda daradara ukiwa umevaa kiutu kama hiki.

Kwa upande wa pochi

  Ni pochi gani inafaa kuvalia nguo za suti












Hizi ni baadhi ya pochi zinazo leta mvuto kwa wanawake na wasichana  na kwa upande wa mavazi ya siti. Mpenzi msomaji wa blog hii utakuwa umeweza kuyaona mavazi ya ofisini pamoja na pochi na  viatu , msomaji endelea kuwa nami katika blog hii karibu sana


 hapo hupo msomaji ina pendeza sana
karibu sana. 

Maoni 2 :